“Nilifeli mara 3 chuoni. Nilituma maombi ya kazi mara 30 lakini mara zote nilikataliwa. Kampuni ya KFC ilipokuja China kwa mara ya kwanza, tulioomba kazi tulikuwa 24 na nilikuwa mtu pekee niliyetoswa. Nilitaka kujiunga na polisi na kutoswa mara 5, nilikuw